2 Wafalme 16:17 BHN

17 Mfalme Ahazi aliziondoa papi zilizokuwa zimesimamishwa huko, akaondoa birika lililoitwa bahari ambalo lilikuwa juu ya wale fahali kumi na wawili wa shaba na kuliweka juu ya msingi wa mawe.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 16

Mtazamo 2 Wafalme 16:17 katika mazingira