2 Wafalme 19:20 BHN

20 Kisha Isaya, mwana wa Amozi akatuma ujumbe kwa Hezekia, akisema, “Hivi ndivyo anavyosema Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ‘Nimesikia ombi lako kwangu kuhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru:’

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 19

Mtazamo 2 Wafalme 19:20 katika mazingira