2 Wafalme 2:21 BHN

21 Elisha akaenda kwenye chemchemi ya maji, akatupa chumvi hiyo ndani na kusema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: Nimeyafanya maji haya kuwa yenye kufaa; tangu sasa hayatasababisha vifo au kutoa mimba.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:21 katika mazingira