2 Wafalme 21:3 BHN

3 Kwa maana alirekebisha mahali pa kuabudia miungu mingine palipoharibiwa na Hezekia baba yake; akajenga madhabahu za kuabudia Baali na kutengeneza sanamu ya Ashera, kama vile alivyofanya Ahabu mfalme wa Israeli. Isitoshe, Manase aliabudu na kutumikia vitu vyote vya mbinguni.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 21

Mtazamo 2 Wafalme 21:3 katika mazingira