2 Wafalme 23:19 BHN

19 Katika kila mji wa Samaria mfalme Yosia aliharibu mahali pa kuabudia miungu ya uongo palipojengwa na wafalme wa Israeli, ili kumkashifu Mwenyezi-Mungu. Madhabahu hayo yote aliyaharibu kama vile alivyofanya huko Betheli.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 23

Mtazamo 2 Wafalme 23:19 katika mazingira