2 Wafalme 3:25 BHN

25 na kuibomoa miji yao. Kila walipopita penye shamba zuri, kila mtu alilirushia jiwe mpaka kila shamba likajaa mawe; kadhalika wakaziziba chemchemi zote za maji na kukata miti yote mizuri. Hatimaye, ukabaki mji mkuu wa Kir-haresethi peke yake, ambao pia wapiga kombeo waliuzingira na kuuteka.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 3

Mtazamo 2 Wafalme 3:25 katika mazingira