2 Wafalme 6:11 BHN

11 Mfalme wa Aramu akafadhaishwa sana na hali hiyo; akawaita maofisa wake, akawauliza, “Niambieni nani kati yenu anayetusaliti kwa mfalme wa Israeli?”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 6

Mtazamo 2 Wafalme 6:11 katika mazingira