2 Wafalme 6:5 BHN

5 Mmoja wao alipokuwa anakata miti, shoka lake likachomoka na kuanguka majini; akalia, akisema, “Sasa bwana wangu nitafanya nini? Shoka hili tulikuwa tumeliazima!”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 6

Mtazamo 2 Wafalme 6:5 katika mazingira