Amosi 1:6 BHN

6 Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Watu wa Gaza wametenda dhambi tena na tena,kwa hiyo sitaacha kuwaadhibu.Walichukua mateka watu kabila zima,wakawauza wawe watumwa kwa Waedomu.

Kusoma sura kamili Amosi 1

Mtazamo Amosi 1:6 katika mazingira