Hosea 2:15 BHN

15 Huko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu,bonde la Akori nitalifanya lango la tumaini.Atanifuata kwa hiari kama alipokuwa kijana,kama wakati alipotoka katika nchi ya Misri.

Kusoma sura kamili Hosea 2

Mtazamo Hosea 2:15 katika mazingira