Hosea 2:3 BHN

3 La sivyo, nitamvua nguo abaki uchi,nitamfanya awe kama alivyozaliwa.Nitamfanya awe kama jangwa,nitamweka akauke kama nchi kavu.Nitamuua kwa kiu.

Kusoma sura kamili Hosea 2

Mtazamo Hosea 2:3 katika mazingira