Hosea 5:14 BHN

14 Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efraimu,kama mwanasimba kwa watu wa Yuda.Mimi mwenyewe nitawararua na kuondoka,nitawachukua na hakuna atakayewaokoa.

Kusoma sura kamili Hosea 5

Mtazamo Hosea 5:14 katika mazingira