Hosea 7:16 BHN

16 Wanaigeukia miungu batili,wako kama uta uliolegea.Viongozi wao watakufa kwa upanga,kwa sababu ya maneno yao ya kiburi.Kwa hiyo, watadharauliwa nchini Misri.

Kusoma sura kamili Hosea 7

Mtazamo Hosea 7:16 katika mazingira