10 Basi, Mose na Aroni walifanya maajabu hayo yote mbele ya Farao. Lakini Mwenyezi-Mungu alimfanya Farao kuwa mkaidi, akakataa kuwaruhusu Waisraeli waondoke nchini mwake.
Kusoma sura kamili Kutoka 11
Mtazamo Kutoka 11:10 katika mazingira