Kutoka 15:11 BHN

11 “Ewe Mwenyezi-Mungu,ni nani kati ya miungu anayelingana nawe?Ni nani aliye kama wewe uliye mtakatifu mkuu,utishaye kwa matendo matukufu,unayetenda mambo ya ajabu?

Kusoma sura kamili Kutoka 15

Mtazamo Kutoka 15:11 katika mazingira