Kutoka 16:15 BHN

15 Waisraeli walipoona kitu hicho walishangaa, wakaulizana, “Nini hiki?” Hawakujua kilikuwa kitu gani. Basi, Mose akawaambia, “Huu ni mkate ambao Mwenyezi-Mungu amewapa mle.

Kusoma sura kamili Kutoka 16

Mtazamo Kutoka 16:15 katika mazingira