Kutoka 17:7 BHN

7 Mahali hapo Mose akapaita “Masa” na “Meriba”, kwa sababu Waisraeli walimnungunikia na kumjaribu Mwenyezi-Mungu wakisema, “Je, kweli Mwenyezi-Mungu yu pamoja nasi?”

Kusoma sura kamili Kutoka 17

Mtazamo Kutoka 17:7 katika mazingira