Kutoka 23:33 BHN

33 Msiwaruhusu waishi nchini mwenu wasije wakawafanya mtende dhambi dhidi yangu; maana kama mkiitumikia miungu yao, hakika hiyo itakuwa mtego wa kuwanasa.”

Kusoma sura kamili Kutoka 23

Mtazamo Kutoka 23:33 katika mazingira