37 Utatengeneza pia taa saba kwa ajili ya kinara hicho na kuziweka juu yake ili ziangaze kwa mbele.
38 Tengeneza pia koleo zake na visahani vyake kwa dhahabu safi.
39 Utatumia kilo thelathini na tano za dhahabu safi kutengeneza kinara hicho na vifaa vyake.
40 Hakikisha kwamba umevitengeneza kwa mfano uliooneshwa kule mlimani.