Kutoka 38:30 BHN

30 Bezaleli aliitumia shaba hiyo kutengenezea vikalio vya mlango wa hema la mkutano, madhabahu ya shaba pamoja na wavu wake wa shaba, vyombo vyote vya madhabahu,

Kusoma sura kamili Kutoka 38

Mtazamo Kutoka 38:30 katika mazingira