Kutoka 8:28 BHN

28 Basi, Farao akasema, “Nitawaacha mwende zenu kumtambikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, jangwani. Walakini msiende mbali mno. Niombeeni na mimi.”

Kusoma sura kamili Kutoka 8

Mtazamo Kutoka 8:28 katika mazingira