Walawi 1:3 BHN

3 “Kama sadaka anayotoa mtu ni ya kuteketezwa, atamchagua mnyama dume asiye na dosari kutoka kundi lake, atamtolea mbele ya mlango wa hema la mkutano ili apate fadhili ya Mwenyezi-Mungu;

Kusoma sura kamili Walawi 1

Mtazamo Walawi 1:3 katika mazingira