Walawi 4:34 BHN

34 Kisha kuhani atachovya kidole chake katika damu ya sadaka ya kuondoa dhambi na kuzipaka pembe za madhabahu ya kuteketezea sadaka. Damu inayobaki ataimwaga chini kwenye tako la madhabahu.

Kusoma sura kamili Walawi 4

Mtazamo Walawi 4:34 katika mazingira