Walawi 5:11 BHN

11 “Ikiwa hawezi kutoa hua wawili au makinda mawili ya njiwa kama sadaka yake ya kuondoa dhambi aliyotenda, basi, ataleta unga kilo moja. Lakini hatautia mafuta wala ubani kwani ni sadaka ya kuondoa dhambi.

Kusoma sura kamili Walawi 5

Mtazamo Walawi 5:11 katika mazingira