2 Fal. 17:15 SUV

15 Wakazikataa sheria zake, na agano lake, alilolifanya na baba zao; na shuhuda zake alizowashuhudia; wakafuata ubatili, wakawa ubatili, nao wakaandamana na mataifa waliowazunguka, ambao BWANA alikuwa amewaagiza, wasitende kwa mfano wao.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 17

Mtazamo 2 Fal. 17:15 katika mazingira