Isa. 20:6 SUV

6 Na mwenyeji wa nchi ya pwani atasema katika siku hiyo, Angalia, haya ndiyo yaliyowapata watu wale tuliowatumaini, ambao tuliwakimbilia watuokoe na mfalme wa Ashuru; na sisi je! Twawezaje kupona?

Kusoma sura kamili Isa. 20

Mtazamo Isa. 20:6 katika mazingira