Isa. 24:18 SUV

18 Itakuwa kila akimbiaye sauti ya hofu ataanguka katika shimo; na kila apandaye na kutoka shimoni atanaswa na mtego; kwa maana madirisha yaliyo juu yamewekwa wazi, na misingi ya dunia inatikisika.

Kusoma sura kamili Isa. 24

Mtazamo Isa. 24:18 katika mazingira