Isa. 3:16 SUV

16 BWANA akasema tena, Kwa sababu binti za Sayuni wana kiburi, na kuenenda na shingo zilizonyoshwa, na macho ya kutamani, wakienenda kwa hatua za madaha, na kuliza njuga kwa miguu yao;

Kusoma sura kamili Isa. 3

Mtazamo Isa. 3:16 katika mazingira