13 Imbeni, enyi mbingu; ufurahi, Ee nchi;Pazeni sauti ya kuimba, enyi milima;Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake,Naye atawahurumia watu wake walioteswa.
Kusoma sura kamili Isa. 49
Mtazamo Isa. 49:13 katika mazingira