Isa. 58:2 SUV

2 Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao, hutaka kwangu amri za haki; hufurahi kumkaribia Mungu.

Kusoma sura kamili Isa. 58

Mtazamo Isa. 58:2 katika mazingira