Law. 19:20 SUV

20 Tena mtu ye yote alalaye na mwanamke aliye mjakazi, naye ameposwa na mume, wala hakukombolewa kwa lo lote, wala hakupewa uhuru; wataadhibiwa; hawatauawa, kwa sababu huyo mwanamke hakuwa huru.

Kusoma sura kamili Law. 19

Mtazamo Law. 19:20 katika mazingira