31 Maana kutakuwako watu watakaosalia huko Yerusalemu; naam, huko mlimani Siyoni kutakuwako watu wachache watakaosalimika; maana Mwenyezi-Mungu amedhamiria kukamilisha hayo.
Kusoma sura kamili 2 Wafalme 19
Mtazamo 2 Wafalme 19:31 katika mazingira