19 Ndipo Elisha akawaendea na kuwaambia, “Mmepotea njia. Huu siyo mji ambao mnautafuta. Nifuateni nami nitawapeleka kwa yule mnayemtafuta.” Naye akawaongoza mpaka Samaria.
Kusoma sura kamili 2 Wafalme 6
Mtazamo 2 Wafalme 6:19 katika mazingira