Hosea 1:6 BHN

6 Gomeri alipata mimba tena, akazaa mtoto wa kike. Mwenyezi-Mungu akamwambia Hosea, “Mpe mtoto huyo jina ‘Asiyehurumiwa’, maana sitawahurumia tena Waisraeli wala sitawasamehe.

Kusoma sura kamili Hosea 1

Mtazamo Hosea 1:6 katika mazingira