Hosea 14:9 BHN

9 Yeyote aliye na hekima ayaelewe mambo haya,mtu aliye na busara ayatambue.Maana njia za Mwenyezi-Mungu ni nyofu;watu wanyofu huzifuata,lakini wakosefu hujikwaa humo.”

Kusoma sura kamili Hosea 14

Mtazamo Hosea 14:9 katika mazingira