Hosea 4:14 BHN

14 Lakini sitawaadhibu binti zenu wanapofanya uzinzi,wala bibi arusi wenu wanapofanya uasherati,maana, wanaume wenyewe ndio wanaofuatana na wazinzi,na kutambikia pamoja nao katika ibada za uzinzi.Watu hawa watovu wa akili hakika wataangamia!

Kusoma sura kamili Hosea 4

Mtazamo Hosea 4:14 katika mazingira