Hosea 6:4 BHN

4 Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Nitakutendea nini ee Efraimu?Nikufanyie nini ee Yuda?Upendo wenu kwangu ni kama ukungu wa asubuhi,kama umande unaotoweka upesi.

Kusoma sura kamili Hosea 6

Mtazamo Hosea 6:4 katika mazingira