Hosea 8:13 BHN

13 Wanapenda kutoa tambiko,na kula nyama yake;lakini mimi Mwenyezi-Mungu sipendezwi hata kidogo.Mimi nayakumbuka makosa yao;nitawaadhibu kwa dhambi zao;nitawarudisha utumwani Misri.

Kusoma sura kamili Hosea 8

Mtazamo Hosea 8:13 katika mazingira