Kutoka 10:24 BHN

24 Kisha, Farao akamwita Mose, akamwambia, “Nendeni mkamtumikie Mwenyezi-Mungu. Watoto wenu pia wanaweza kwenda pamoja nanyi. Lakini kondoo na mbuzi, na ng'ombe wenu wabaki.”

Kusoma sura kamili Kutoka 10

Mtazamo Kutoka 10:24 katika mazingira