Kutoka 10:9 BHN

9 Mose akamjibu, “Kila mtu: Vijana na wazee, tutaondoka na watoto wetu wa kiume na wa kike, kondoo na mbuzi wetu na ng'ombe; kwa maana ni lazima tumfanyie sikukuu Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili Kutoka 10

Mtazamo Kutoka 10:9 katika mazingira