Kutoka 13:17 BHN

17 Wakati Farao alipowaachia Waisraeli waende zao, Mungu hakuwapitisha katika nchi ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa ya karibu. Mungu alisema, “Sipendi watu hawa wabadilishe nia na kurudi Misri wakijua itawabidi kupigana vita.”

Kusoma sura kamili Kutoka 13

Mtazamo Kutoka 13:17 katika mazingira