Kutoka 14:27 BHN

27 Basi, Mose akaunyosha mkono wake juu ya bahari, na kulipopambazuka bahari ikarudia hali yake ilivyokuwa. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji lakini Mwenyezi-Mungu akawasukumizia baharini.

Kusoma sura kamili Kutoka 14

Mtazamo Kutoka 14:27 katika mazingira