Kutoka 14:4 BHN

4 Hapo mimi nitamfanya Farao kuwa mkaidi, naye atawafuatia. Nami nitajipatia utukufu kwa kumwangamiza yeye na jeshi lake. Hapo Wamisri watatambua kwamba mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.” Basi, Waisraeli wakafanya hivyo.

Kusoma sura kamili Kutoka 14

Mtazamo Kutoka 14:4 katika mazingira