Kutoka 18:12 BHN

12 Hapo Yethro, baba mkwe wa Mose, akamtolea Mungu sadaka za kuteketezwa na tambiko. Naye Aroni akaja pamoja na wazee wa Israeli ili kula chakula pamoja na Yethro, mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Kutoka 18

Mtazamo Kutoka 18:12 katika mazingira