8 Watu wote wakaitikia kwa pamoja wakisema, “Mambo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya.” Mose akamjulisha Mwenyezi-Mungu jibu hilo la watu.
Kusoma sura kamili Kutoka 19
Mtazamo Kutoka 19:8 katika mazingira