Kutoka 32:30 BHN

30 Kesho yake Mose akawaambia watu, “Mmetenda dhambi kubwa! Sasa nitamwendea Mwenyezi-Mungu juu mlimani; labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”

Kusoma sura kamili Kutoka 32

Mtazamo Kutoka 32:30 katika mazingira