Kutoka 36:1 BHN

1 “Bezaleli na Oholiabu, pamoja na kila mwanamume ambaye Mwenyezi-Mungu amemjalia uwezo na akili ya kujua namna ya kufanya kazi zote katika ujenzi wa hema takatifu, atafanya kazi kulingana na yote ambayo Mwenyezi-Mungu aliamuru.”

Kusoma sura kamili Kutoka 36

Mtazamo Kutoka 36:1 katika mazingira