40 vyandarua vya ua, nguzo zake na vikalio vyake; pazia la mlango wa ua, kamba zake na vigingi vyake; vyombo vyote vilivyohitajika katika huduma ya hema takatifu, yaani hema la mkutano;
Kusoma sura kamili Kutoka 39
Mtazamo Kutoka 39:40 katika mazingira