Kutoka 7:10 BHN

10 Basi, Mose na Aroni wakamwendea Farao na kufanya kama walivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Aroni aliitupa fimbo yake chini mbele ya Farao na maofisa wake, nayo ikawa nyoka.

Kusoma sura kamili Kutoka 7

Mtazamo Kutoka 7:10 katika mazingira