Kutoka 7:9 BHN

9 “Farao atakapowaambieni mthibitishe jambo hilo kwa kutenda miujiza, wewe utamwambia Aroni aichukue fimbo yake, aitupe mbele ya Farao, nayo itakuwa nyoka.”

Kusoma sura kamili Kutoka 7

Mtazamo Kutoka 7:9 katika mazingira